Uchanganuzi wa wahariri kuhusu hoja nzito za David Maraga na DkT. Willy Mutunga (majaji wakuu wastaafu) dhidi ya hulka ya Rais Kenyatta ya kukiuka sheria. Wanasema taifa linafuata mkondo mbaya na wabunge wanafaa kumtimua Uhuru mamlakani.
Uchanganuzi wa wahariri kuhusu hoja nzito za David Maraga na DkT. Willy Mutunga (majaji wakuu wastaafu) dhidi ya hulka ya Rais Kenyatta ya kukiuka sheria. Wanasema taifa linafuata mkondo mbaya na wabunge wanafaa kumtimua Uhuru mamlakani.