Mgomo wa Madaktari: Uhai wa Wakenya Uko Hatarini
Sepetuko
Apr. 11, 2024
Mgomo wa madaktari unaoendelea sasa unatishia haki ya binadamu kwa uhai. Sepetuko inatoa wito kwa serikali na vyama vya madaktari kulegeza misimamo na kufumbua fumbo hili kwa faida ya raia.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa